Marubani nchini Argentina wamekataa kata kata kupaa na ndege aiana ya Boeing 737-8 Max kufuatia ajali iliyohusisha ndege ya iana hiyo nchini Ethiopia.
Licha ya taifa hilo kutotangaza matumizi ya ndege hiyo, hatua hiyo sasa italifanya Argentina kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yanasubiri ripoti ya uchunguzi wa wa ajali ya ndege ya Ethiopia 302 kabla ya kuanza kupaa tena.