The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Huku siku ya Jumamosi wiki hii ikiwa mwaka mmoja tangu kuanza kwa ushirikiano mpya kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga, maarufu Handshake, Naibu Mwenyekiti wa Jopo la Upatanisho lililobuniwa baada ya mwafaka huo, Adams Oloo, amesema jopo hilo limepiga hatua kubwa katika kuwaunganisha Wakenya.
Jinsi anavyoarifu Mwanahabari wetu Carren Papai, jopo hilo limezuru takribani kaunti 21 kupokea mapendekezo ya Wakenya na washikadau mbali mbali kuhusu mabadiliko wanayotaka nchini kabla ya kuwasilisha ripoti yake.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.