The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Ndege zilizoratibiwa kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta, JKIA zimeelekezwa kutua jijini Mombasa huku zingine zikielekezwa taifa jirani la Tanzania. Hatua hiyo inafwatia mgomo wa Wafanyakazi wa Viwanja vya Ndege, KAA wanaopinga pendekezo la kujumishwa kwa KAA na Shirika la KQ.
Aidha, wanasema kuwa Kenya Airways imekuwa ikirekodi hasara katika mapato yake na hivyo kujumishwa kwao huenda kukaathiri utendakazi wa KAA ikizingatiwa kwamba KQ itasimamisha shughuli zote za usafiri katika Uwanja wa JKIA. Tayari Katibu Mkuu wa KAA Moss Ndiema ametiwa mbaroni huku usafiri ukiendelea kutatizika katika Uwanja wa Ndege JKIA kufuatia mgomo huo. Maelfu ya wasafiri wangali wamekwama tangu saa tisa usiku wakati mgomo uo ulipoanza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.