Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Ndege zilizoratibiwa kutua katika Uwanja wa JKIA zimeelekezwa kutua jijini Mombasa

Ndege zilizoratibiwa kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta, JKIA zimeelekezwa kutua jijini Mombasa huku zingine zikielekezwa taifa jirani la Tanzania. Hatua hiyo inafwatia mgomo wa Wafanyakazi wa Viwanja vya Ndege, KAA wanaopinga pendekezo la kujumishwa kwa KAA na Shirika la KQ.

Aidha, wanasema kuwa Kenya Airways imekuwa ikirekodi hasara katika mapato yake na hivyo kujumishwa kwao huenda kukaathiri utendakazi wa KAA ikizingatiwa kwamba KQ itasimamisha shughuli zote za usafiri katika Uwanja wa JKIA. Tayari Katibu Mkuu wa KAA Moss Ndiema ametiwa mbaroni huku usafiri ukiendelea kutatizika katika Uwanja wa Ndege JKIA kufuatia mgomo huo. Maelfu ya wasafiri wangali wamekwama tangu saa tisa usiku wakati mgomo uo ulipoanza.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

JKIA Mgomo KAA