×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Uhuru Kenyatta leo anatarajiwa kufungua rasmi Kongamano la Ugatuzi liliong'oa nanga mapema jana katika Chuo Kikuu cha Kirinyaga.

Rais Uhuru Kenyatta leo anatarajiwa kufungua rasmi Kongamano la Ugatuzi liliong'oa nanga mapema jana katika Chuo Kikuu cha Kirinyaga.

Kongamano hilo linatarajiwa kuangazia hatua zilizopigwa na kaunti mbalimbali katika kuwainisha ajenda zake na ajenda nne kuu za serikali ya Jubilee kufuatia mjadala ulioanza katika Kongamano la Ugatuzi mwaka uliopita kwenye Kaunti ya Kakamega. Kauli mbiu ya kongamano la mwaka huu kwa kiingereza ni Deliver, Transform, Measure, and Remain Accountable.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

ugatuzi Uhuru