Na Victor Mulama
Nairobi Kenya, Huku viongozi mbalimbali wakiendelea kumshinikiza Naibu wa Rais William Ruto kurekodi taarifa kuhusu anachojua kufuatia sakata ya mabwawa ya Aror na Kimwarer ambapo fedha takriban shilingi bilioni 21 zinadaiwa kufujwa, wa hivi punde amekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha ODM, Edwin Sifuna.