×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Tume ya IEBC yashauriwa kutatua mzozo wa Mipaka Baringo

Viongozi wa eneo la Baringo wakiongozwa na Gavana Stanely Kiptis na Mbunge wa Baringo Kusini Charles Kamuren wametoa wito kwa Tume ya Uchaguzi, IEBC kuharakisha tatizo la mpaka linatatuliwa kwenye kaunti hiyo.

Wamesema mzozo huo ndio unasababisha mivutano baina ya jamii mbalimbali hali ambayo imechangia watu kadhaa kuuliwa na wala sio wizi wa mifugo inavyoaminika.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in