The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Siku moja tu baada ya Rais Uhuru Kenyatta kumfuta kazi Rashid Echesa kutoka katika Wizara ya Michezo, Echesa amejitokeza kwa mara ya kwanza na kusema ameridhishwa na uamuzi huo. Amesema anauheshimu uongozi wa rais Kenyatta ambaye ana mamlaka ya kuwateua na kuwafuta mawaziri.
Akipuuzilia mbali mijadala iliyoibuka baada ya kufurushwa kwake, Echesa amewasihi wafuasi wake kuwa watulivu kwani yeye si waziri wa kwanza kutimuliwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.