×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

''Si mimi wa kwanza kufutwa kazi ya uwaziri'' Echesa

Siku moja tu baada ya Rais Uhuru Kenyatta kumfuta kazi Rashid Echesa kutoka katika Wizara ya Michezo, Echesa amejitokeza kwa mara ya kwanza na kusema ameridhishwa na uamuzi huo. Amesema anauheshimu uongozi wa rais Kenyatta ambaye ana mamlaka ya kuwateua na kuwafuta mawaziri.

Akipuuzilia mbali mijadala iliyoibuka baada ya kufurushwa kwake, Echesa amewasihi wafuasi wake kuwa watulivu kwani yeye si waziri wa kwanza kutimuliwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902