Watu wanne wamefariki dunia kufuatia ajali kwenye eneo la Morendat Barabara kuu ya Nakuru-Nairobi mapema leo.
Afisa msimamizi wa trafiki eneo la Bonde la Ufa Ziro Arome, amesema ajali hiyo imehusisha gari la binafsi na basi ya kubeba abiria la kampuni ya Climax.