×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu 4 wafariki dunia kufuatia ajali, Nakuru

Watu wanne wamefariki dunia kufuatia ajali kwenye eneo la Morendat Barabara kuu ya Nakuru-Nairobi mapema leo.

Afisa msimamizi wa trafiki eneo la Bonde la Ufa Ziro Arome, amesema ajali hiyo imehusisha gari la binafsi na basi ya kubeba abiria la kampuni ya   Climax.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in