Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta awasuta wafanyakazi wa umma wanaogoma kila mara wakitaka mishahara

Rais Uhuru Kenyatta amewasuta vikali wafanyakazi wa umma wanaogoma kila mwaka kutaka nyongeza ya mshahara na marupurupu bila kujali maslahi ya mkenya mlipa kodi. Rais ambaye amewaongoza viongozi kadhaa akiwamo naibu wake William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga badala yake ametaka washikadau katika sekta ya afya kushirikiana zaidi ili kufanikisha ajenda ya afya bora kwa wote.

Akizungumza kwenye Kaunti ya Kisii, Rais aidha amewataka wauguzi wanaogoma kurejea kazini mara moja huku akisisitiza kauli yake kwamba hakuna pesa za kuwalipa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News