The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta amewasuta vikali wafanyakazi wa umma wanaogoma kila mwaka kutaka nyongeza ya mshahara na marupurupu bila kujali maslahi ya mkenya mlipa kodi. Rais ambaye amewaongoza viongozi kadhaa akiwamo naibu wake William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga badala yake ametaka washikadau katika sekta ya afya kushirikiana zaidi ili kufanikisha ajenda ya afya bora kwa wote.
Akizungumza kwenye Kaunti ya Kisii, Rais aidha amewataka wauguzi wanaogoma kurejea kazini mara moja huku akisisitiza kauli yake kwamba hakuna pesa za kuwalipa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.