×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

KOT walihakikisha gazeti la New York Times linaomba radhi na kuondoa picha walizochapisha

Tangu kuzinduliwa kwa mitandao ya kijamii, mitandao hiyo imetumiwa kuwa njia ya kushirikiana, na hata kuleta mabadiliko. Katika mtandao wa Twitter, Wakenya wanao utumia mtandao huo maarufu KOT, Kenyans On Twitter, wamesifika sana kwa kuhakikisha sifa za taifa hili haziharibiwi vilevile kugakikisha mashujaa  wanapokea heshima wanayo stahili.

Wiki iliyopita Wakenya hao walihakikisha gazeti la New York Times linaomba radhi na kuondoa picha walizochapisha za watu walioaga dunia wakati wa shambulio katika hoteli ya DUSIT D2  bila kuficha sura zao.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics