The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanafunzi takriban elfu mia moja na sita waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu, walifanikiwa kubadili shule walizochaguliwa kujiunga nazo na kupata nafasi katika shule walizokuwa wakitaka.
Mabadiliko hayo yalijiri baada ya awali Wizara ya Elimu kusisitiza kwamba ni lazima wanafunzi wajiunge na shule walizochaguliwa kujiunga nazo kupitia Mfumo wa NEMIS. Hata hivyo suala hilo lilipingwa vikali na baadhi ya wazazi ambao wanao walichaguliwa kujiunga na shule za jinsia tofauti huku wengine wakichaguliwa kujiunga na shule ambazo wasingeweza kumudu karo miongoni mwa masuala mengine. Hali hiyo iliilazimu Wizara ya Elimu kulegeza msimamo na kuwaruhusu walimu wakuu wa shule za upili kuwasajili wanafunzi waliobadili shule kupitia Mfumo wa NEMIS.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.