Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

watahiniwa wote 12,222 waliopata alama mia nne na zaidi walichaguliwa kujiunga na shule za upili

Wanafunzi takriban elfu mia moja na sita waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu, walifanikiwa kubadili shule walizochaguliwa kujiunga nazo na kupata nafasi katika shule walizokuwa wakitaka.

Mabadiliko hayo yalijiri baada ya awali Wizara ya Elimu kusisitiza kwamba ni lazima wanafunzi wajiunge na shule walizochaguliwa kujiunga nazo kupitia Mfumo wa NEMIS. Hata hivyo suala hilo lilipingwa vikali na baadhi ya wazazi ambao wanao walichaguliwa kujiunga na shule za jinsia tofauti huku wengine wakichaguliwa kujiunga na shule ambazo wasingeweza kumudu karo miongoni mwa masuala mengine. Hali hiyo iliilazimu Wizara ya Elimu kulegeza msimamo na kuwaruhusu walimu wakuu wa shule za upili kuwasajili wanafunzi waliobadili shule kupitia Mfumo wa NEMIS.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics