The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Maafisa wa idara ya upelelezi leo hii wanatarajiwa kuendeleza misako zaidi ya kuwanasa washukiwa wa ugaidi waliohusika katika uvamizi eneo la 14 Riverside Drive ambako watu 21 waliuliwa na wengine 28 wakiachwa na majeraha. Kufikia sasa washukiwa tisa wamekamatwa. Miongoni mwa washukiwa hao ni Ali Salim Gichunge ambaye ni mwanawe afisa wa jeshi la KDF. Awali ilirotiwa kwamba Gichunge alikuwa miongoni mwa waliouliwa katika Hoteli ya DusitD2 japo baadaye ikabainika siye.
Mkewe Gichunge, Violet Kemunto aidha anaripotiwa kutoweka tangu kushuhudiwa kwa tukio hilo japo mamaye mshukiwa ni miongoni mwa waliokamatwa. Wakazi wa eneo la Majengo Nyeri, wamezungumzia kumfahamu Gichunge ambaye aliyezaliwa na kulelewa eneo hilo. Wakazi wamemtaja kuwa kijana mtulivu hadi alipohama eneo hilo zaidi ya miaka mitatu iliyopita.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.