Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Washukiwa zaidi wa shambulizi la DusitD2 wasakwa

Maafisa wa idara ya upelelezi leo hii wanatarajiwa kuendeleza misako zaidi ya kuwanasa washukiwa wa ugaidi waliohusika katika uvamizi eneo la 14 Riverside Drive ambako watu 21 waliuliwa na wengine 28 wakiachwa na majeraha. Kufikia sasa washukiwa tisa wamekamatwa. Miongoni mwa washukiwa hao ni Ali Salim Gichunge ambaye ni mwanawe afisa wa jeshi la KDF. Awali ilirotiwa kwamba Gichunge alikuwa miongoni mwa waliouliwa katika Hoteli ya DusitD2 japo baadaye ikabainika siye.

Mkewe Gichunge, Violet Kemunto aidha anaripotiwa kutoweka tangu kushuhudiwa kwa tukio hilo japo  mamaye mshukiwa ni miongoni mwa waliokamatwa. Wakazi wa eneo la Majengo Nyeri, wamezungumzia kumfahamu Gichunge ambaye aliyezaliwa na kulelewa eneo hilo. Wakazi wamemtaja kuwa kijana mtulivu hadi alipohama eneo hilo zaidi ya miaka mitatu iliyopita.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics