The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Masaibu yanaendelea kumwandama Gavana wa Migori Okoth Obado, baada ya Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC kuanza uchunguzi wa tuhuma za ufisadi dhidi yake. EACC imezifunga akaunti za benki za gavana huyo, kufuatia madai kwamba jumla ya shilingi bilioni 2.5 pesa za umma zimefujwa katika serikali yake.
Aidha akaunti ambazo zimefungwa ni zile za ndugu zake Obado; Jared Peter Odoyo , Oluoch Kwaga, Ernest Omondi Owino na Joram Opala Otieno.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.