×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Akaunti za benki za Gavana Obado zadhibitiwa

Masaibu yanaendelea kumwandama Gavana wa Migori Okoth Obado, baada ya Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC kuanza uchunguzi wa tuhuma za ufisadi dhidi yake. EACC imezifunga akaunti za benki za gavana huyo, kufuatia madai kwamba jumla ya shilingi bilioni 2.5 pesa za umma zimefujwa katika serikali yake.

Aidha akaunti ambazo zimefungwa ni zile za ndugu zake Obado; Jared Peter Odoyo , Oluoch Kwaga, Ernest Omondi Owino na Joram Opala Otieno.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Migori Akaunti