The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hatimaye Rais Uhuru Kenyatta ametoa pendekezo kwa bunge kupunguza Kodi ya Thamani ya Ziada kwa bidhaa za mafuta kutoka asilimia 16 hadi asilimia 8. Akilihutubia taifa muda mfupi uliopita, Rais Kenyatta amesema ameitikia vilio vya wananchi, ndiposa amelirai bunge kuufanyia marekebisho Mswada wa Kifedha 2018, ili kujumuisha pendekezo lake. Iwapo bunge litazingatia, bei za mafuta zitashuka angaa kwa kiasi fulani.
Huku akikiri kwamba taifa linakabaliwa na matatizo mbalimbali za kifedha, Rais Kenyatta amependekeza njia nyingine za kupunguza matumizi ya fedha za serikali kukiwamo kupunguza safari za nje za maafisa wa umma, kupunguza mafunzo mbalimbali ya idara za serikali miongoni mwa mbinu nyingine.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.