Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta asikia kilio cha Wakenya kuhusu kodi ya bidhaa za mafuta

Hatimaye Rais Uhuru Kenyatta ametoa pendekezo kwa bunge kupunguza Kodi ya Thamani ya Ziada kwa bidhaa za mafuta kutoka asilimia 16 hadi asilimia 8. Akilihutubia taifa muda mfupi uliopita, Rais Kenyatta amesema ameitikia vilio vya wananchi, ndiposa amelirai bunge kuufanyia marekebisho Mswada wa Kifedha 2018, ili kujumuisha pendekezo lake. Iwapo bunge litazingatia, bei za mafuta zitashuka angaa kwa kiasi fulani.

Huku akikiri kwamba taifa linakabaliwa na matatizo mbalimbali za kifedha, Rais Kenyatta amependekeza njia nyingine za kupunguza matumizi ya fedha za serikali kukiwamo kupunguza safari za nje za maafisa wa umma, kupunguza mafunzo mbalimbali ya idara za serikali miongoni mwa mbinu nyingine.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Rais Kodi