×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Sonko awaonywa wafanyakazi fisadi

Gavana wa Nairobi Mike Sonko amewashtumu wale wanaoikosoa hatua yake ya kuwafuta wafanyakazi wa kaunti ambao ni fisadi. Sonko amesema ataendelea na uchunguzi na iwapo kuna wafanyakazi watakaohusishwa na visa vyovyote wa ufisadi wataachishwa kazi. Amesema jumla ya wafanyakazi sitini wametambulika na kwamba watachukuliwa hatua za kisheria.

Wakati uo huo, amewaonya wawakilishi wadi anaodai wamelipwa ku mhangaisha ili aitimize lengo hilo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Sonko Nairobi