Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Matiang'i awataka polisi kuzingatia maadili ya utendakazi wakati wa uchaguzi

Na, Beatrice Maganga
Matiang'i awataka polisi kuzingatia maadili ya utendakazi wakati wa uchaguzi
Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i ameelezea imani kwamba maafisa wa usalama watatekeleza jukumu lao kwa uadilifu wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Akihutubu wakati wa mkutano baina yake na wakuu wa usalama wa vitengo mbalimbali, Matiang'i ameonya kwamba huenda kukawa na visa vya kujaribu kuwachokoza maafisa wa usalama na kuwataka wazingatie sheria katika utendakazi wao.
Matiang'i amesema fotauti na ilivyodaiwa kwamba huenda maafisa wa usalama wnehtumiwa kuhujumu uchaguzi mkuu uliyopita, maafisa hao walizingatia maadili ya utendakazi na kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki.
Inspekta Mkuu wa Polisi, Joseph Boinett amerejelea kaunli ya Matiang'i kwamba polisi hawatakuwa na ubaguzi katika kuwahudumia wananchi wakati huu wa marudio ya uchaguzi.
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics