The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Matiang'i awataka polisi kuzingatia maadili ya utendakazi wakati wa uchaguzi
Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya nchi, Fred Matiang'i ameelezea imani kwamba maafisa wa usalama watatekeleza jukumu lao kwa uadilifu wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Akihutubu wakati wa mkutano baina yake na wakuu wa usalama wa vitengo mbalimbali, Matiang'i ameonya kwamba huenda kukawa na visa vya kujaribu kuwachokoza maafisa wa usalama na kuwataka wazingatie sheria katika utendakazi wao.
Matiang'i amesema fotauti na ilivyodaiwa kwamba huenda maafisa wa usalama wnehtumiwa kuhujumu uchaguzi mkuu uliyopita, maafisa hao walizingatia maadili ya utendakazi na kufanikisha uchaguzi mkuu huru na wa haki.
Inspekta Mkuu wa Polisi, Joseph Boinett amerejelea kaunli ya Matiang'i kwamba polisi hawatakuwa na ubaguzi katika kuwahudumia wananchi wakati huu wa marudio ya uchaguzi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.