×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwili wa mamaye mhubiri Pius Muiru wapatikana


Na Sofia Chinyezi
NAIROBI, KENYA, Mlinzi wa boma la mamaye mhubiri Pius Muiru, anazuiliwa baada ya kukiri kumuua mwanamke huyo. Maafisa wa upelelezi waliupata mwili wa Cecilia Wangari Mwangi siku moja baada ya kuripotiwa kutoweka, ukiwa umezikwa katika kaburi moja nyumbani kwake eneo la Murang'a. Mshukiwa ndiye aliyewaelekeza maafisa hao hadi eneo alikomzika.

Kamanda wa Polisi Kaunti ya Murang'a, Naomi Ichami anasema mlinzi huyo na mkaza-mwana wa Wangari wanazuiliwa, na kwamba wote watakaotajwa vilevile watahojiwa.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in