×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mkutano wa 'Team Nairobi' watibuka

Na Rosa Agutu
NAIROBI, KENYA, Rabsha zimeshuhudiwa katika mkutano wa Jubilee uliokuwa ukiendalia katika Ukumbi wa Bomas, Kaunti ya Nairobi kufuatia mvutano kati ya wafuasi wa Seneta wa Nairobi, Mike Sonko na wa Mbunge wa Starehe Maina Kamanda, kuhusu usimamizi wa bodi ya uchaguzi wa Kaunti ya Nairobi.

Wafuasi wa Sonko waliondoka kwenye mkutano huo ghafla wakidai kuwa Kamanda alikuwa na njama ya kuiba kura hizo kwa kumpendelea Mbunge wa Gatanga, Peter Kenneth madai ambayo yanapingwa na Kamanda.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics