Ni rasmi sasa koti tamba ya Emuhaya/Luanda imezinduliwa ili kwa kutoa huduma kwa wakazi wa eneo hilo kuanzia wiki ijayo pasi na kusafiri mwendo mrefu kufika mahakama ya Vihiga na Maseno mtawalia na la mno kuashiria kupunguza idadi za kesi zinazorundika kwenye koti hizo pasi na kushughulikiwa.