Jubilee's Suleiman Shabhal rubbishes Joho remarks on government's war on narcotics

Siku chache tu baada ya mwenyekiti wa chama cha ANC kaunti ya Vihiga Sikalo Ochiel kumukashifu mbunge wa eneo bunge la Vihiga Bw. Yusuf Chanzu ambaye pia anawania kusimama ugavana eneo hilo kupitia chama kwa hicho katika mkutano mmoja wilaya ya vihiga kwa kusema kuwa mbunge huyo hafuati utaratibu wake kama mwenyekiti,

 

Bwana chanzu amemtaka Ochiel pamoja na katibu wake wilaum kaisha kutoegemea upande mmoja na kufanya kazi inavyohitajika.

 

 

kwenye kikao na waandishi wa habari wilayani Emuhaya, mbunge huyo amekashifu uongozi wa wawili hao kwa kuwa na mapendeleo kwa mmoja wapo katika chama hicho anayenuia pia kusimama kiti hicho cha ugavana Josphat Amadi, swala analosema ni kulegeza uaminifu wa chama hicho kwa kukosa msimamo.