Na Beatrice Maganga
''Wizi wa fedha za umma kupitia miradi ya Taasisi ya Kitaifa ya Huduma za Vijana, NYS hautashuhudiwa tena.'' Kauli hiyo imetolewa na Naibu wa Rais William Ruto ambaye amesema serikali imeweka mikakati kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma.