×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Mikakati zaidi yawekwa kuzuia udanganyifu kwenye mitihani

Na Beatrice Maganga

Serikali imezibadili saa za kufunguliwa kwa kontena zinazohifadhi karatasi za Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne KCSE kutoka saa kumi na moja asubuhi hadi saa kumi na mbili unusu asubuhi. Wizara ya Elimu kwa Ushirikiano na Baraza la Kitaifa la Mitihani nchini KNEC wametoa muongozo huo baada ya kubainika kwamba baadhi ya walimu wakuu wamekuwa wakijaribu kufanikisha udanganyifu katika mitihani hiyo kufuatia kukabidhiwa karatasi hizo mapema.
Kwenye taarifa kupitia wa Katibu wa Wizara hiyo Belio Kipsang, walimu na wasimamizi wa mitihani aidha wameonywa dhidi ya kuzungumzia masuala ya mitihani hiyo kwenye mitandao ya kijamii ili kuzuia kuhujumu kufanyika kwa mitihani hiyo kwa njia inayostahili.
Amesema Mwenyekiti wa KNEC George Magoha ndiye pekee aliye na mamlaka ya kuwasilisha taarifa kuihusu mitihani inayoendelea.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902