The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Shirika la Ndege la Kenya Airways, limesema abiria waliokuwa wakisafiria mojawapo ya ndege zake iliyokumbwa na matatizo ikiwa angani wako salama. Kwenye taarifa, shirika hilo limesema kwa sasa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Uganda Jumatatu jioni inakaguliwa na wahandisi. Mojawapo la magurudumu ya ndege hilo lilipasuka ilipokuwa ikitua katika uwanja wa JKIA.
Katika siku za hivi karibuni, misururu ya visa kuhusu hitilafu za ndege imeshuhudiwa nchini. Wiki iliyopita ndege moja ilianguka katika Msitu wa Kibiku Ngong ambapo rubani na mwanafunzi wake walijeruhiwa. Siku chache zilizopita ndege nyingine ya polisi ilianguka katika Mtaa wa Mathare na kuwajeruhi polisi wanne.
Mtalii mmoja aidha alifariki dunia wakati ndege aliyokuwa ameabiri na wenzake kuanguka eneo la Naivasha. Wengine walijeruhiwa wakati wa kisa hicho.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.