×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais atia saini kuwa sheria mswada wa kuthibiti viwango vya riba

Na, Sophia Chinyezi

Benki za humu nchini zimepoteza katika jitihada zao za kuzuia kudhibitiwa kwa viwango vya riba vinavyotozwa wanaochukua mikopo, baada ya Rais Uhuru Kenyatta kusaini kuwa sheria Mswada wa Marekebisho wa Benki wa mwaka 2015. Hatua hiyo inazizuia benki kuongeza riba zinazotozwa mikopo kuwa zaidi ya asilimia nne ya riba iliyoratibiwa na Benki Kuu. Huku Benki Kuu ikiwa katika asilimia 10.5, benki sasa haziwezi kutoza riba ya zaidi ya asilimia 14.5 kwa mikopo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

uhuru kenyatta KBA