Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Taharuki yatanda Narok kufuatia uvamizi

Na, Sophia Chinyezi

Familia sita zimeachwa bila makao kwenye Kaunti ya Narok baada ya watu wasiojulikana kuteketeza nyumba zao usiku wa kuamkia Jumanne. Takribani nyumba kumi zimeteketezwa wakati wa kisa hicho kilichotokea kwenye maeneo ya Pimbiniet na Olopirik mpakani pa Transmara Mashariki na Magharibi, mwendo wa saa tatu usiku na saa tano.
Inaarifiwa kisa hicho kilitokea kufuatia tofauti zilizoibuka kati ya jamii za Kipsigis na Maasai. Kwa mujibu wa wa OCPD wa Transmara, Ambrose Hongo, kisa hicho kilijiri wakati wenyeji walipokuwa wamelala na kusema maafisa wa usalama wanafanya uchunguzi kuwatambua wahusika.
Hata hivyo amesema kufikia sasa, hakuna aliyekamatwa akihusishwa na kisa hicho, ingawa polisi wameimarisha doria kwenye mpaka unaozitenganisha jamii hizo. Kisa hicho kinajiri wiki kadhaa baada ya kamati ya usalama eneo hilo kuwaonya wakazi dhidi ya kumiliki silaha hatari.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News