Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali yaondoa ada za kulipia mitihani katika shule za binafsi

Na, Carren Omae

Serikali imeondoa ada za mitihani katika shule za binafsi kote nchini. Rais Uhuru Kenyatta amesema wanafunzi watakaofanya mitihani ya kitaifa katika shule za msingi na upili katika shule hizo hawatahitajika kulipia ada zozote, sawa na wale shule za umma. Wakati uo huo, Rais Kenyatta amesema serikali haitatoa mwongozo mpya kuhusu karo za shule mwaka huu.
Amesema jumla ya shilingi bilioni 29 zilizotolewa kufanikisha elimu bila malipo katika shule za kutwa za upili ziwatasaidia wanafunzi wengi kutositisha masomo yao kutokana na ukosefu wa karo. Kulingana na Rais, serikali itaendelea kutoa fedha za kutosha kufanikisha elimu nchini.
Ameyasema hayo wakati wa hafla ya washindi wa mashindano ya muziki ya shule katika Ikulu ya Nairobi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

uhuru kenyatta