The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali imeondoa ada za mitihani katika shule za binafsi kote nchini. Rais Uhuru Kenyatta amesema wanafunzi watakaofanya mitihani ya kitaifa katika shule za msingi na upili katika shule hizo hawatahitajika kulipia ada zozote, sawa na wale shule za umma. Wakati uo huo, Rais Kenyatta amesema serikali haitatoa mwongozo mpya kuhusu karo za shule mwaka huu.
Amesema jumla ya shilingi bilioni 29 zilizotolewa kufanikisha elimu bila malipo katika shule za kutwa za upili ziwatasaidia wanafunzi wengi kutositisha masomo yao kutokana na ukosefu wa karo. Kulingana na Rais, serikali itaendelea kutoa fedha za kutosha kufanikisha elimu nchini.
Ameyasema hayo wakati wa hafla ya washindi wa mashindano ya muziki ya shule katika Ikulu ya Nairobi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.