Raila Odinga amesema hawezi kufanya mjadala na mshindani wake William Ruto wa UDA

Mpeperusha bendera wa Muungano wa Azimio Raila Odinga sasa anadai kuwa hatashiriki katika mjadala wa Kitaifa wa wawaniaji wa urais na mshindani wake, William Ruto wa UDA.

Msemaji wa kamati ya Kampeni ya Raila Profesa Makau Mutua anadai kuwa mfumo wa mjadala wa marais nchini ambapo washindani wa karibu wanawekwa pamoja kuulizwa maswali si mzuri.

Continue reading — subscribe to The Standard INSiDER
Get Trusted News for Only Ksh99 a Week

Subscribe Today & Save!

  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
Already a subscriber? Log in

Related Topics

AZIMIO, UDA, Mjadala