The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Huku mazishi ya mwana wa mlowezi Lord Delamere, Tom Cholmondeley yakitarajiwa kufanyika Ijumaa, hatimaye familia ya Samson ole Sisina aliyekuwa afisa wa KWS aliyeuliwa kwa kupigwa risasi na Cholmondeley miaka sita iliyopita, imeshusha pumzi baada ya kufidiwa na familia ya Dalemere.
Familia hiyo ambayo juzi ilifanya tambiko kwenye kaburi la ole Sisina, sasa itapewa mifugo 50 ya fidia waliyodai, kwa kumtaka wakili wako, Katwa Kigen kusitisha mazishi ya Chomodley hadi wafidiwe.
Cholmondeley aliga dunia wiki iliyopita alipokuwa akifanyiwa upasuaji kwenye mfupa wa paja.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.