Familia ya Cholmondey yakubali kutoa fidia

Na, Mike Nyagwoka,

Huku mazishi ya mwana wa mlowezi Lord Delamere, Tom Cholmondeley yakitarajiwa kufanyika Ijumaa, hatimaye familia ya Samson ole Sisina aliyekuwa afisa wa KWS aliyeuliwa kwa kupigwa risasi na Cholmondeley miaka sita iliyopita, imeshusha pumzi baada ya kufidiwa na familia ya Dalemere.
Familia hiyo ambayo juzi ilifanya tambiko kwenye kaburi la ole Sisina, sasa itapewa mifugo 50 ya fidia waliyodai, kwa kumtaka wakili wako, Katwa Kigen kusitisha mazishi ya Chomodley hadi wafidiwe.
Cholmondeley aliga dunia wiki iliyopita alipokuwa akifanyiwa upasuaji kwenye mfupa wa paja.
 

 

Related Topics