Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu 36 wauliwa katika shambulizi la kigaidi Uturuki

Watu 36 wamefairiki dunia huku wengine 90 wakisalia na majeraha baada ya shambulizi la kigaidi katika Uwanja wa Ndege wa Mataifa wa Ataturk, nchini Uturuki usiku wa kuamkia leo.

Kwa mujibu wa shirika la habari la BBC, washambulizi watatu waliwavamia rai waliokuwa wakisubiri kuabiri ndege na kuwamiminia risasi. Aidha, magaidi hao walijilipua baada ya polisi kuanza kukabiliana nao. Shambulizi hilo linajiri miezi mitatu tu baada ya wanajeshi watatu kuawa katika shambulizi lingine la  kigaidi nchini humo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics