The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Watu 36 wamefairiki dunia huku wengine 90 wakisalia na majeraha baada ya shambulizi la kigaidi katika Uwanja wa Ndege wa Mataifa wa Ataturk, nchini Uturuki usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa shirika la habari la BBC, washambulizi watatu waliwavamia rai waliokuwa wakisubiri kuabiri ndege na kuwamiminia risasi. Aidha, magaidi hao walijilipua baada ya polisi kuanza kukabiliana nao. Shambulizi hilo linajiri miezi mitatu tu baada ya wanajeshi watatu kuawa katika shambulizi lingine la kigaidi nchini humo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.