Matatu strike watch

Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi nchini COTU Francis Atwoli ametangaza kwamba mgomo uloioitishwa wa sekta ya usafiri umekomeshwa, hata baada ya kudhihirika kwamba mgomo huo haukufanyika kama ilivyotarajiwa. Hali ya taharuki ilikuwa imetanda katika vituo vya magari ya maeneo ya Kawangware na Kangemi asubuhi ya leo kufuatia hofu ya kuzuka kwa ghasia. Huyu hapa Damaris Kitavi na mengi zaidi.

Related Topics

Matatu strike watch