Mfangano street blast

Jiji la Nairobi leo hii liliamkia tukio la shambulizi la bomu ambalo lilifanyika katika baa moja inayotambulika kama Mwaura ambayo ipo kwenye barabara ya Mfangano hapa jijini nairobi . Mlipuko huo unasemekana kusababishwa na gurenedi lililotupwa ndani na baa hiyo na kusababisha kujeruhiwa kwa watu 12. Hata hivyo haijabainika aliyesababisha mlipuko huo. Mwanahabari wetu Saida Swaleh ana mengi zaidi.