Tuju launches presidential bid - Swahili

Raphael Tuju sasa ni mgombeaji wa kumi n a mmoja kutangaza nia ya kuirithi ofisi ya rais baada ya rais Mwai Kibaki kustaafu mwakani. Tuju amesema kwamba manifesto yake imewpa vijana kipau mbele. Sasa tuju amejiuzulu rasmi kama afisaa wa ushauri katika ofisi ya rais mwai kibaki ili kuanza kampeini za kujinadi kwa wakenya kama mgombeaji wa urais.