Mshukiwa Kizimbani

Peter Karanja afisa wa polisi wa utawala na mshukiwa wa mauaji ya watu kumi na mmoja katika eneo la Siakago amefikishwa mbele ya hakimu mkuu mkaazi wa Embu Florence Wachira, aliyeamurisha upande wa mashtaka kufanya uchunguzi zaidi ifikapo siku ya ijumaa, atakapofunguliwa mashtaka afisa huyo.Wakati huo huo waziri wa usalama George Saitoti ametaja mauaji hayo kama yaliyotokana na afisa huyo kutatizika kiakili, baada ya kujua kuwa alikuwa ameambukizwa maradhi hatari. huyu hapa Damaris Kitavi na taarifa zaidi.

Related Topics

Mshukiwa Kizimbani