Ibada Ya Wafu

Baada ya kunyimwa kibali cha kuandaa ibada ya wafu katika bustani ya Uhuru hapo jana, leo viongozi wa makanisa walifanikisha ibada hiyo katika kanisa la All Saints Cathedral hapa jijini. Ni ibada iliyojawa na majonzi na huzuni kutoka kwa waathiriwa wa mkasa huo na jamaa za wale sita waliofariki. Waliohutubu wakisisitizia haja ya wakenya kuungana wakati huu wa taharuki kabla ya kura ya maamuzi. Mwanahabari wetu Carol Nderi alihudhuria ibada hiyo na kutuandalia taarifa ifuatayo.

Related Topics

Ibada Ya Wafu