The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hatimaye ripoti
kuhusu kiini cha ajali ya ndege ya KQ iliyofanyika mwaka 2007, dakika chache
baada ya ndege hiyokupaa kutoka uwanja
wa ndege wa Doula nchini Cameroon
na kuwauwa watu 114 imetolewa. Ripoti hiyo imeelezea kinaga ubaga jinsi rubani
wa ndege alivyochanganikiwa mara ilipoanza kuanguka. hata hivyo shirika la
ndege la Kenya
airways pamoja na serikali imesisitiza kwamba ripoti hiyo hailengi kulimbikizia
mtu yeyote lawama. uchunguzi huo ulifanywa na halamashauri ya ndege nchini Cameroon.