A man is nursing injuries after he was shot countlessly by robbers

Jamaa mmoja aliponea katika kikule cha simba baada ya kumiminiwa risasi isiyonakiliwa idadi.

Tukio hili lilitokea Mashariki mwa Marakwet divisheni ya Tot. Inaakisiwa kwamba wavamiaji hawa walikua wezi na walitaka kutekeleza jukumu lao hasi.

Jamaa huyu anaendelea kuuguza majeraha katika hospitali moja huko Marakwet.