×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Wafanyikazi katika mashamba ya maua kuongezewa mishahara

Na Suleiman Yeri


 Mshahara wa wafanyakazi wa mashamba ya maua utaongezwa kwa asilimia ishirini na tano. Hatua hii inajiri baada ya muungano wa wakulima kutia saini makubaliano na Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi, COTU. Makubaliano hayo ni ya mwaka 2015-2016. Zaidi ya wakulima elfu sitini watanufaika na mpango huo.
Katibu Mkuu wa COTU, Franzis Atwoli amesema sekta ya maua imekuwa ikikabiliwa na changamoto chungu nzima, kama vile ada ya  juu ya umeme, kodi ya juu na gharama kubwa ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi. Wafanyakazi watapokea malimbikiza ya malipo ya kuanzia mwaka uliopita.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902