Watu watatu walifariki baada magari matano kugongana katika barabara ya Kiambu. Ajali hiyo iliyohusisha matatu moja na magari manne ya kibinafsi ilifanyika baada ya matatu kugongana na gari moja la kibinafsi lililokuwa likikwepa msongamano wa magari. Afisa mkuu wa trafiki eneo la Pangani,