Watu watatu walifariki baada magari matano kugongana katika barabara ya Kiambu. Ajali hiyo iliyohusisha matatu moja na magari manne ya kibinafsi ilifanyika baada ya matatu kugongana na gari moja la kibinafsi lililokuwa likikwepa msongamano wa magari. Afisa mkuu wa trafiki eneo la Pangani, Nairobi alisema majeruhi wa ajali hiyo walikimbizwa hospitalini huku waliofariki wakipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha City.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted