EU yatoa Euro milioni 63 kwa msaada wa dharura kwa walioathiriwa na njaa Somalia

EU yatoa Euro milioni 63 kwa msaada wa dharura kwa walioathiriwa na njaa Somalia
Umoja wa Ulaya umetangaza euro milioni 63, sawa na takriban shilingi bilioni 9.7, kwa ajili ya msaada wa kibinadamu kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu Somalia.
.

RELATED NEWS