Mtandao wa mawasiliano wa Paul Mackenzie wafichuliwa mahakamani

Mtandao wa mawasiliano wa Paul Mackenzie wafichuliwa mahakamani
Mahakama imeelezwa kuwa uchambuzi wa data za simu umebaini kile wachunguzi wanachokitaja kama mtandao wa mawasiliano uliopangwa kati ya Paul Mackenzie na kundi lake la usalama
.

RELATED NEWS