×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Rais Ruto kujipima ubabe wa Kisiasa na chaguzi ndogo

Mjumbe wa ODM Boyd Were akifanya shughuli ya kudhibitisha stakabadhi zake zimesajiliwa na tume ya IEBC. [James Omoro, Standard]

Chaguzi ndogo zitakazofanyika tarehe 27 mwezi huu zinatarajiwa kuwa mchuano wa kihistoria kwa Rais William Ruto, akiwa katika harakati za kuhakikisha ana nafasi bora ya muhula wa pili mwaka 2027.

Ushindi au kushindwa katika eneobunge la Malava utaibua maswali makubwa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa serikali ya Kenya Kwanza, hususan iwapo itabidi kuwepo na mabadiliko ya uongozi au kuendelea na usanifu wa sasa unaowapa nafasi viongozi wa Magharibi, Musalia Mudavadi na Moses Wetang’ula.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in