The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mjumbe wa ODM Boyd Were akifanya shughuli ya kudhibitisha stakabadhi zake zimesajiliwa na tume ya IEBC. [James Omoro, Standard]
Chaguzi ndogo zitakazofanyika tarehe 27 mwezi huu zinatarajiwa kuwa mchuano wa kihistoria kwa Rais William Ruto, akiwa katika harakati za kuhakikisha ana nafasi bora ya muhula wa pili mwaka 2027.
Ushindi au kushindwa katika eneobunge la Malava utaibua maswali makubwa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa serikali ya Kenya Kwanza, hususan iwapo itabidi kuwepo na mabadiliko ya uongozi au kuendelea na usanifu wa sasa unaowapa nafasi viongozi wa Magharibi, Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.