The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kivumbi kinatarajiwa bungeni Alhamisi alasiri wakati Mswada wa Kifedha wa Mwaka 2023, utakapowasilishwa kusomwa kwa mara ya pili. Kisha wabunge watapata fursa ya kuujadili ambapo ubabe baina ya wabunge wa Kenya Kwanza na Azimio unatarajiwa kushuhudiwa.
Mswada huo wa Kifedha utawasilishwa na Kiongozi wa Wengi wa Bunge la Kitaifa Kimani Ichungwa ambaye jukumu lake kuu ni kuzisukuma ajenda za serikali bungeni.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…