×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Kivumbi chatarajiwa bungeni, Mswada wa Fedha wa 2023 ukijadiliwa

Kivumbi kinatarajiwa bungeni Alhamisi alasiri wakati Mswada wa Kifedha wa Mwaka 2023, utakapowasilishwa kusomwa kwa mara ya pili. Kisha wabunge watapata fursa ya kuujadili ambapo ubabe baina ya wabunge wa Kenya Kwanza na Azimio unatarajiwa kushuhudiwa.

Mswada huo wa Kifedha utawasilishwa na Kiongozi wa Wengi wa Bunge la Kitaifa Kimani Ichungwa ambaye jukumu lake kuu ni kuzisukuma ajenda za serikali bungeni.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in