Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Kivumbi chatarajiwa bungeni, Mswada wa Fedha wa 2023 ukijadiliwa

Kivumbi kinatarajiwa bungeni Alhamisi alasiri wakati Mswada wa Kifedha wa Mwaka 2023, utakapowasilishwa kusomwa kwa mara ya pili. Kisha wabunge watapata fursa ya kuujadili ambapo ubabe baina ya wabunge wa Kenya Kwanza na Azimio unatarajiwa kushuhudiwa.

Mswada huo wa Kifedha utawasilishwa na Kiongozi wa Wengi wa Bunge la Kitaifa Kimani Ichungwa ambaye jukumu lake kuu ni kuzisukuma ajenda za serikali bungeni.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News