Rais William Ruto ameomba msamaha kufuatia mkasa wa mauaji tata ya Shakahola.
Katika mahojiano na vyombo ya habari , Ruto amekiri kwamba kulikuwapo na utepetevu katika mfumo wa kiserikali kuanzia ujasusi, upelelezi, vilevile maafisa wa utawala wakiwamo polisi na machifu.