Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais William Ruto aongoza kuapishwa kwa majaji sita walioachwa nje na Uhuru

Rais William Ruto ametimiza ahadi yake ya kuwaapisha majaji sita walioachwa nje wakati wengine arobaini walipoapishwa na Rais Mstaafu, Uhuru Kenyatta. Akizungumza wakati wa halfa hiyo katika Ikulu ya Nairobi ambayo pia imehudhuria na aliyekuwa Jaji Mkuu, David Maraga wakati uteuzi wa majaji hao ulipokataliwa na Uhuru, Rais Ruto amesisitiza umuhimu wa kuiheshimu Idara ya Mahakama na idara nyingine huru na kuzipa nafasi ya kutekeleza majukumu yao bila mwingilio.

Ruto ametoa changamoto kwa Idara ya Mahakama kuzishughulikia kwa wakati hasa kesi za ufisadi ambazo anasema zimekuwa zikichukua muda mrefu mahakamani.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News