The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais William Ruto ametimiza ahadi yake ya kuwaapisha majaji sita walioachwa nje wakati wengine arobaini walipoapishwa na Rais Mstaafu, Uhuru Kenyatta. Akizungumza wakati wa halfa hiyo katika Ikulu ya Nairobi ambayo pia imehudhuria na aliyekuwa Jaji Mkuu, David Maraga wakati uteuzi wa majaji hao ulipokataliwa na Uhuru, Rais Ruto amesisitiza umuhimu wa kuiheshimu Idara ya Mahakama na idara nyingine huru na kuzipa nafasi ya kutekeleza majukumu yao bila mwingilio.
Ruto ametoa changamoto kwa Idara ya Mahakama kuzishughulikia kwa wakati hasa kesi za ufisadi ambazo anasema zimekuwa zikichukua muda mrefu mahakamani.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.