The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma wameghadhabishwa na hatua ya Wizara ya Elimu, Hazina Kuu na Baraza la Ushauri la Vyuo Vikuu vya Umma IPUCCF, kukosa kutimiza ahadi waliyotoa walipofika mbele ya Kamati ya Bunge ya Elimu wiki iliyopita kwamba watawasilisha mkataba bora kwa vyama vyao ili kusitisha mgomo unaoendelea.
Wakizungumza na wanahabari, viongozi wa vyama vya wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu UASU na KUSU, wamesema badala yake siku ya Jumamosi, IPUCCF iliwasilisha stakabadhi waliyodai kwamba ulikuwa mkataba mwingine, stakabadhi ambayo wameitaja kuwa bandia na ambayo haikuafikia viwango vinavyohitajika kwa mujibu wa sheria. Mwenyekiti wa UASU, Muga K'Olale amesikitishwa na hatua ya Waziri wa Elimu na Makatibu wa Elimu ya Juu na wa Hazina Kuu kwa kutoweka mikakati ya kushughulikia malalamiko waliyoibua.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.