Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

UASU na KUSU zasisitiza kuwa mgomo utaendelea hadi mkataba wao utakapojadiliwa na kutiwa saini na fedha kuwekwa kwenye akaunti zao za benki

Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma wameghadhabishwa na hatua ya Wizara ya Elimu, Hazina Kuu na Baraza la Ushauri la Vyuo Vikuu vya Umma IPUCCF, kukosa kutimiza ahadi waliyotoa walipofika mbele ya Kamati ya Bunge ya Elimu wiki iliyopita kwamba watawasilisha mkataba bora kwa vyama vyao ili kusitisha mgomo unaoendelea.

Wakizungumza na wanahabari, viongozi wa vyama vya wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu UASU na KUSU, wamesema badala yake siku ya Jumamosi, IPUCCF iliwasilisha stakabadhi waliyodai kwamba ulikuwa mkataba mwingine, stakabadhi ambayo wameitaja kuwa bandia na ambayo haikuafikia viwango vinavyohitajika kwa mujibu wa sheria. Mwenyekiti wa UASU, Muga K'Olale amesikitishwa na hatua ya Waziri wa Elimu na Makatibu wa Elimu ya Juu na wa Hazina Kuu kwa kutoweka mikakati ya kushughulikia malalamiko waliyoibua.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics