.
27th January, 2022
Maafisa wa polisi wametibua mkutano wa wafanyikazi wa kiwanda cha Mumias ambao walikuwa wamekongamana kwenye kiwanda hicho kulalamikia hatua ya kampuni mpya ya Sarrai iliyopewa kandarasi ya kukiendesha kiwanda hicho kwa miaka ishirini ijayo kuwaajiri wafanyikazi wa kigeni na kutowafahamisha mustakali wao ni upi licha ya kiwanda hicho kuwa na madeni ya mamilioni ya fedha kwa wafanyikazi wa kiwanda hicho wa zamani.
Sasa wakiitaka kampuni hiyo kuwalipa fedha zao lau sivyo hawatakubali shughuli kuendelea kama zilivyoratibiwa bila ya kupata malimbikizi yao.