×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mashabiki wa soka nchini waendelea kuomboleza kifo cha shabiki mwenzao mashuhuri Isaac Juma

27th January, 2022

Mashabiki wa soka nchini wanaendelea kuomboleza kifo cha shabiki mwenzao mashuhuri Isaac Juma ambaye anakumbukwa na wengi kwa kuhudhuria mechi za soka za timu ya taifa Harambee Stars akiwa amejipaka rangi za kila aina mwilini akicheza uwanjani na bendera ya taifa.

Isaac Juma aliuawa kwa kukatwakatwa na upanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake huko Mumias katika kile kinasemekana kuwa ni mzozo wa umiliki wa ardhi.

.
RELATED VIDEOS