×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Familia ya afisa mtoro Caroline Kangogo inamtaka ajisalimishe kwa polisi baada ya kuuwa watu wawili

7th July, 2021

Familia ya koplo Caroline Kangogo afisa wa polisi mtoro anayeeaminika kuteekeleza mauaji ya watu wawili akiwemo afisa wa polisi mwenye cheo cha konstebo imemtaka ajisalimishe kwa maafisa wa polisi na kuomba msamaha familia zilizofiwa kwa niaba ya mwana wao. Wakazi wa kijiji cha nyawa kaunti ya Elgeyo Marakwet alikozaliwa Caroline leo walijumuika katika maombi wakiwa na tumaini kuwa afisa huyo wa polisi atapata utulivu na kujisalimisha. Na kama anavyoripoti mwanahabari elvis kosgei maafisa wa polisi wamezingira boma la afisa huyo.

.
RELATED VIDEOS