29th June, 2021
Watu wawili walioshtakiwa kwa kosa la kumuibia na kisha kumuua mhandisi robbin george gikonyo mwaka 2015 kaunti ya nyeri wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na mahakama moja mjini nyeri. Watu hao wawili paul kinuthia mwangi na james kingori kararu wameshutumiwa kwa kumuua gikonyo ambaye alikuwa mhandisi katika wizara ya kawi.