×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Utunzaji Watoto: Mashirika ya kijamii watoa msukumo kuwatunza watoto nchini

27th January, 2021

Huku wakenya wakiendelea kukabiliana na janga la korona mashirika yasiyokuwa ya serikali yamesema ipo haja ya kuwalea na kuwatunza watoto wanaorandaranda mijini,kutokana na makali ya virusi hivyo.akizungumza katika eneo la langas huko Eldoret kaunti ya Uasin Gishu, kasisi gichuhi njoroge amesema ni jukumu la kila idara husika ya kutafuta njia mbadala ya kuzikidhi familia hizi. eneo la mji wa eldoret lina watoto wengi wa kurandaranda ambao kuna wakati walifurushwa.

.
RELATED VIDEOS